Zijue Chaneli Unazotakiwa Uzitazame Bure Katika King'amuzi Chako



Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA imetoa taarifa kwamba ,Chaneli zifuatazo ziantakiwa kutazwamwa bure bila kulipia kwenye King'amuzi chako.

1.TBC2
2.ITV
3.CHANNEL TEN
4STAR TV
5.EATV
6.CLOUDTV

Ukiona unalipishwa hela ili kuangalia chaneli hizo, toa taarifa haraka sana kwa njia ya Email hii dg@tcra.go.tz au unaweza kuandika barua na kuituma kwa anuani ifuatayo

Mkurugenzi mkuu
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzanai
14414SLP,474
DSM

ANGALIZO: Taarifa hii inawahuzi Watanzania waliopo Tanzania bara ambao wanatumia ving'amuzi vya Star Times,Digitek,Ting na Continental.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment