HABARI KWA UFUPI: SHEIKH ABUBAKAR ZUBERI ATEULIWA KUWA KAIMU MUFTI WA TANZANIA.

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7ZsI56MCnVXDP9PT0cbRzI2OyCutnPvJqkV1od3xkJ3a_ZGPX0mQfmxALyl6hP1c_0lqvLhUmaztH8mtOMaG7C9hpKQGtZy3dcg6zkJoJSRlRYm2HSWTcXXqeU7NvmcsM6Xkp0xEY9sfH/s1600/blogger-image-1017248852.jpg


BARAZA LA WAISLAM TANZANIA WAMEKUTANA MUDA MFUPI ULIOPITA NA WAMEMTEUA SHEIKH ABUBAKARI ZUBERI KUWA
KAIMU MUFTI KWA KURA ZOTE NANE . MUNGU AMPE HEKIMA ZAIDI KATIKA MAJUKUMU YAKE.



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment