Home
/
KITAIFA
Showing posts with label KITAIFA. Show all posts
Showing posts with label KITAIFA. Show all posts
Mwanajeshi wa Tanzania auawa huko Jamhuri ya Kati Afrika
Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kati Afrika wanaotokea nchini Tanzania, ameuawa na waasi huku wengine 18 wak...
Read More
Waziri Ndalichako : “Maria na Consolata ni Mashujaa wa Taifa”
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ameongoza waombolezaji kutoa heshima za mwisho kwa Mapacha walioungana Ma...
Read More
Serikali Yalitaka Baraza la Maaskofu KKKT Kuufuta Waraka wa Pasaka
Serikali ya Tanzania imelitaka Baraza la Maaskofu la Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Tanzania kufuta waraka lililoutoa ...
Read More
Waziri wa Elimu Profesa Ndalichako alivyomwaga machozi msiba Maria na Consolata
Miili ya mapacha Maria na Consolata Mwakikuti (20) waliofariki dunia Jumamosi iliyopita katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa, imeagwa kati...
Read More
Bungeni: Serikali Kujenga Kituo Kikubwa cha Kupoozea Umeme Jimbo la Kibamba
Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) inatarajia kujenga kituo kikubwa cha kupoozea umeme katika Jimbo la Kibamba baada y...
Read More
Bungeni: Serikali Yatangaza Neema ya Ajira kwa Wataalamu Sekta Ya Umwagiliaji
Wizara ya Maji na Umwagiliaji kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inatarajia kuwaajiri wataalamu wa kutosha katika fani ya umwagiliaji....
Read More
PICHA: Basi lagonga treni...7 Wafariki Dunia
Watu 7 wamefariki dunia na wengine 27 wamejeruhiwa vibaya, baada ya basi la Kampuni ya Hamida kugonga treni ya mizigo mkoani Kigoma. A...
Read More
Maxcom Africa – Maxmalipo Wafafanua Tatizo La Tiketi Kwenye Usafiri Wa Mwendo Kasi Tarehe 3 Na 4 Juni 2018
RPC Shana: Majambazi Nane Yakamatwa Pwani
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani JESHI la polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watu nane wanaosadikiwa kuwa majambazi kwa tuhuma za kuhusika na ...
Read More
Waziri Mkuu Atoa Ujumbe Mzito Kwa Wabunge
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wabunge kuonyesha mshikamano na kupendana ili waendeleze jukumu la kuishauri Serikali. Kiongo...
Read More
Sugu Aitaka Serikali Kuwalipa Wastaafu Magereza
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu (Chadema), ameitaka serikali iwalipe askari wa magereza waliostaafu na kukaa zaidi y...
Read More
Bodi ya Mikopo yasitisha mikopo kwa wanafunzi wa diploma
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuutaarifu umma kuwa imesitisha mpango wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wanaos...
Read More
Rais Magufuli Kuzindua Programu Ya Kuendeleza Sekta Ya Kilimo Awamu Ya Pili (ASDP II)
Na Mathias Canal-WK, Dar es salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi k...
Read More
Operesheni Polisi Yanasa 35, Silaha 5 Mikoa Ya Kusini
Na. Jeshi la Polisi. Jeshi la Polisi nchini limefanikiwa kukamata Silaha mbalimbali na watuhumiwa 35 katika Oparesheni Maalum inayoend...
Read More
Rais Magufuli Awalilia Mapacha Walioungana Maria na Consolata Seebait.com 2018SeeBait
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia, Masista wa Maria Consolata na...
Read More
Kamati Maalumu Ya Bunge Yaibua Madudu, Mawaziri Watajwa
Kamati iliyoundwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai kuchunguza mwenendo wa biashara ya sekta ya gesi asilia nchini imebaini madudu katika se...
Read More
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)

