Showing posts with label BURUDANI. Show all posts
Showing posts with label BURUDANI. Show all posts

Mama Kanumba ajia juu harusi ya Lulu

WAKATI maandalizi ya harusi ya mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ yakiwa yamepamba moto chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi amba...
Read More

Diamond Platnumz: Mwanamke Sura Kwanza.... Tabia Baadae

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amesema kuwa yeye kigezo kikubwa anachotumia kumpata mwanamke mwema wa kuoa ni kuangal...
Read More

Angel Mary Awatamani Vannesa na Alikiba.

Msanii wa muziki Bongo, Angel Mary amefunguka kuhusu mipango yake ya kimuziki kwa miaka ya mbeleni. Muimbaji huyo amesema moja ya nd...
Read More

Sugu Kuja na Wimbo Mpya Atakaoupa Namba yake ya Gerezani

Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) ambaye pia ni msanii nguli na mkongwe kwenye game ya hip hop ya bongo, anatarajia kuachia k...
Read More

Diamond Akana Kumpigia Magoti Zari ili Warudiane

Msanii wa bongo fleva maarufu  nchini , Diamond Platinumz kwa mara ya kwanza amefunguka na kuzungumzia swala lake la kuachana na Zari na...
Read More

Nuh Mziwanda Azungumzia Picha Zake Tata na Amber Lulu

Msanii wa muziki wa bongo fleva Nuh Mziwanda amaefunguka na kuzungumzia video tata iliyokuwa ikiwaonyesha yeye na msanii mwenzake wa kik...
Read More

Belle 9 Akana Tetesi za Kukimbia Mjini Baada Ya Kufulia

Msanii mkongwe wa Bongo fleva aliyewahi kutamba na kibao chake cha ‘Masogange’ Belle 9 amekana tetesi zinazodai kuwa amefulia. Belle...
Read More

Khadija Kopa : Wasanii Wengi Wamekuwa Jeuri, Muda Si Mrefu na Mimi Ntaacha Muziki

Msanii mkongwe wa taaarabu nchini Khadija Kopa amefunguka na kuzungumzia hali ya taarabu ilivyo sasa nchini na kusema kuwa wasanii wengi...
Read More

Gigy Money Aomba Radhi Baada Ya Kumchana X Wake Hadharani

Mwanamuziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money ameomba radhi baada ya ugomvi wake na Baba mtoto wake Mo J. Gigy Mo...
Read More

Mzee wa Upako Ampigia Simu Q-Chief ,Ni Baada ya Kusikia Anaacha Muziki.

Baada ya kuweka wazi dhamira yake ya kuacha muziki, msanii Q Chief amesema amepigiwa simu na watu wengi mmoja wapo ni Mchungaji Anthony ...
Read More

Kesi Ya Babu Tale Yaahirishwa, Arudishwa Mahabusu

Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connection ya jijini Dar es Salaam, Hamis Taletale maarufu Babu Tale, leo Mei 23, 2018 saa 6 mchana ame...
Read More