Katibu Mkuu Afisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhev Salum Maulid akitowa
shukrani kwa Madaktari Diaspora kwa ujio wao na kutoa huduma katika
hospitali ya Mnazi mmoja na kuwataka hii siyo mwishi iwe ni endelevu
kufika Zanzibar kutoa msaada wa Afya kwa Wananchi wake na kuipongeza
Jumuiya ya Watanzania Washington kufanikisha ziara ya Madaktari hao
Nchini Tanzania shukrani hizo amezitowa wakati wa kuwaaga katika ukumbi
wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Madaktari Diaspora wakimsikiliza Katibu Mkuu Afisi ya Rais Ikulu Mhe Salum Maulid wakati wa hafla ya kuwaaga.
Madaktari Diaspora wakimsikiliza Katibu Mkuu Afisi ya Rais Ikulu Mhe Salum Maulid wakati wa hafla ya kuwaaga.


0 comments :
Post a Comment