Barua aliyoiandika Mtanzania Jackline Cliff kutoka gerezani China

Nkupamah Media:

Ikiwa ni miaka miwili toka video vixen Jackie Cliff akamatwe kwenye uwanja wa ndege na kufungwa gerezani huko Macao China kwa kosa la kujaribu kuingiza dawa za kulevya, ameandika barua ya wazi kwa watanzania ambapo amezungumzia mambo mbalimbali kuhusu maisha yake.


Barua hiyo imesomwa kwa mara ya kwanza na kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM Jumanne hii na mtangazaji wa kipindi hicho Millard Ayo.
 

Sikiiza hapa.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment