Nkupamah media:
NA K-VIS MEDIA Na Mashirikaya Habari
………………………………………………………………………………………
HILARY Clincton, (Pichani juu), ambaye anaomba kuteuliwa na chama chake cha Democrat, kuwania kiti
charais wa Marekani kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini humo,
ameshindwa kwenye mchujo wa uteuzi katika jimbo na New Hamshire.
charais wa Marekani kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini humo,
ameshindwa kwenye mchujo wa uteuzi katika jimbo na New Hamshire.
Pia Mgombea wa chama cha Republican, “mbaguzi” Donald Trump, ameshinda kwenye
mchujo wa uteuzi katika jimbo hilo la New Hamshire uliofanyika sambamba Jumanne
usiku.
mchujo wa uteuzi katika jimbo hilo la New Hamshire uliofanyika sambamba Jumanne
usiku.
Seneta wa Vermont Bernie Sanders, ndiye aliyemshinda Hillary Clinton, huku Trump, tajiri mkubwa kutokaNew York, na ambaye amekuwa akiwashutumu wageni hususan Waislamu kuwa wanaleta “shobo”
nchini humo yeye amewabwaga mahasimu wake wa karibu Gavana wa Ohio, John Kasich
aliyeshika nafasi ya pili, Gavana wa Florida, Jeb Bush, Seneta wa Texas, Ted
Cruz na Seneta wa Florida, Marco Rubio.
nchini humo yeye amewabwaga mahasimu wake wa karibu Gavana wa Ohio, John Kasich
aliyeshika nafasi ya pili, Gavana wa Florida, Jeb Bush, Seneta wa Texas, Ted
Cruz na Seneta wa Florida, Marco Rubio.
Trump na Seneta Sanders wote wawili wamekuwa wakiwataka watu wapige kura dhidi ya watu ambao tayari
wamekuwa kwenye mfumo wa utawala wa nchi hiyo. Clinton ambaye aliwahi
kuwa Waziri wa Mamboya Nje wa Marekani kwenye utawala wa sasa wa Obama, tayari
amempongeza Bw Sanders, lakini akasema ataendelea kupigania kila kura kwenye
kinyang’anyiro hicho cha kumtafuta mgombea urais wa chama cha Democratic.
wamekuwa kwenye mfumo wa utawala wa nchi hiyo. Clinton ambaye aliwahi
kuwa Waziri wa Mamboya Nje wa Marekani kwenye utawala wa sasa wa Obama, tayari
amempongeza Bw Sanders, lakini akasema ataendelea kupigania kila kura kwenye
kinyang’anyiro hicho cha kumtafuta mgombea urais wa chama cha Democratic.
Seneta Bernie Sanders (kushoto) na Tajiri Donald Trump




0 comments :
Post a Comment