Majaliwa ampa pole Mbowe kwa kufiwa na kaka yake (Picha)

Waziri Mkuu. Mhe. Kassim Majaliwa amemtembelea Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa Upinzani Bunge, Freeman Mbowe kumpa pole kufuatia kupata kifo cha kaka yake Kanali Mstaafu Maximillian Aikaeli Mbowe.
Mo Blog imekuandalia habari picha jinsi Waziri Mkuu alivyomtembelea Mbowe.
IMGS1637
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa Upinzani Bunge, Freeman Mbowe  wakati alipokwenda kumpa pole  kufuatia kifo cha kaka yake, Kanali Mstaafu Maximillian Aikaeli Mbowe, nyumbani kwa marehemu, Tegeta jijini Dar es salaam Aprili 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMGS1653
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha kaka yake   Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa Upinzani Bunge, Freeman Mbowe   (kulia kwake) wakati alipokwenda kumpa pole  kufuatia kifo cha kaka yake, Kanali Mstaafu Maximillian Aikaeli Mbowe, nyumbani kwa marehemu, Tegeta jijini Dar es salaam
IMGS1670
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wanafamilia wakati alipokwenda  kumpa pole Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa Upinzani Bunge, Freeman Mbowe kufuatia kifo cha kaka yake, Kanali Mstaafu Maximillian Aikaeli Mbowe,
IMGS1685
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru  wakati alipokwenda  kumpa pole Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa Upinzani Bunge, Freeman Mbowe kufuatia kifo cha kaka yake, Kanali Mstaafu Maximillian Aikaeli Mbowe,
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment