Klabu
ya Simba imeshindwa kupanda katika kilele cha Ligi Kuu ya Tanzania
Bara baadaya kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Toto Africans.
Hii
ni siku moja tu baada ya watani zao wa jadi, Dar es Salaam Young
Africans, April 16 Yanga walirejea kileleni baada ya kumaliza michezo
yao ya viporo baada ya kuwafunga Wakata miwa wa Mtibwa, Mtibwa Sugat bao
1-0.
Kwa
mchezo huo wa leo Simba kulala kwa bao hilo moja huenda ukaanza kufuta
ndoto ya ubingwa wa Ligi Kuu ambao wamekuwa wakiukamia kwa muda mrefu.


0 comments :
Post a Comment