January 11 2017 Mbunge wa Kilombero kwa ticket ya CHADEMA Peter
Lijualikali alihukumiwa jela miezi 6 baada ya kupatikana na hatia
katika kesi ya kufanya vurugu kipindi cha uchaguzi wa Mwenyekiti wa
halmashauri ya wilaya ya Kilombero. Leo 12 2017 mwanasheria mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu amezungumza kuhusu mbunge huyo kuhukumiwa miezi sita, Bonyeza play hapa chini kusikiliza
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment