Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye
Dodoma. Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick
Sumaye amekata rufaa Kamati Kuu ya CCM kupinga adhabu ya onyo kali
aliyopewa na chama kutokana na madai ya kuanza kampeni za urais mapema
kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao. Akizungumza na gazeti hili mjini Dodoma
jana, Sumaye alisema kwa ufupi hakuridhishwa na adhabu hiyo na
kuthibitisha hilo, tayari amekata rufaa. Hata hivyo, alisema hadi jana
hakuwa amepata mrejesho wowote kwa sababu kanuni hazielezi ni muda gani
anatakiwa kuwa amepewa taarifa kuhusu rufaa hiyo.-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment