BREAKING NEWS:BASIL MRAMBA NA DANIEL YONA WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3. GREY MGONJA AACHIWA HURU.


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiWCU9DYlL9FdxiWIs4Z1XT3repPsXbIaFbrAxN_PKhGV5RqQSLA2QQmcwKiD8Q7qI4Cnl-WHUHN_TOyNOBhQH3lOAnwMdyLvAoew-Ak42f8BHPIumH5SyX3nb2yg1whNHTkiF9OKGPXF93/s1600/1.jpg
Mawaziri wawili wa zamani Basili Mramba na Daniel Yona waliokuwa wakituhumiwa kwa kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya shilingi 11.7bilioni  kutokana na kutoa msamaha wa kodi kwa kampuni iliyopata zabuni ya ukaguzi wa madini ya dhahabu nchini  ya M/S Alex stewart.
Leo wamekutwa na hatia katika kesi iliyokuwa ikiwakabili kwa muda mrefu sasa na kuhukumiwa kwenda
jela kila mmoja  kwa muda wa miaka mitatu.
Wakati huo huo aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha na Uchumi Aggrey Mgonja ameaachiwa huru baada ya mahakama kumkuta hana hatia.
Habari kamili inaandaliwa Kaa tayari
Imeandikwa na Nkupamah blog
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment