MLIPUKO WA BOMU WAUA 27 NA KUJERUHI 100 UTURUKI

  • Written by  Nkupamahmedia
Mmoja wa majeruhi katika mlipuko huo.
Hali ilivyokuwa baada ya mlipuko kutokea.

Majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza.
TAKRIBANI watu 27 wameuawa huku wengine 100 wakijeruhiwa katika shambulio la bomu la kujitoa muhanga lililotokea leo katika Mji wa Suruc nchini Uturuki.
Mji huo wa Suruc upo kwenye mpaka wa Uturuki na nchi ya Syria.
Mlipuko huo ulitokea kwenye bustani ya kituo cha kitamaduni leo huku mamia ya vijana wakiripotiwa kufanya kazi kwenye kituo hicho.
Mji wa Suruc, unapakana na mji wa Syria wa Kobane, ambao unawahifadhi wakimbizi wengi waliokimbia mapigano katika miezi ya hivi karibuni.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment