– Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na
kuwapongeza baadhi ya Wabunge wapya wa bunge la 11, walipokutana kwenye
viwanja vya Ikulu ndogo Chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri
Mkuu mpya wa awamu ya Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa zilizofanyika
leo Nov 20, 2015 mjini Dodoma. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mbunge
wa Ilemela, Angelina Mabula kwenye viwanja vya Ikulu ndogo Chamwino
wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa awamu ya Tano, Mhe.
Majaliwa Kassim Majaliwa zilizofanyika leo Nov 20,2015 mjini Dodoma.
Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na mtoto
Majaliwa mtoto wa Waziri Mkuu mpya kwenye viwanja vya Ikulu ndogo
Chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa awamu ya
Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa zilizofanyika leo Nov 20,2015 mjini
Dodoma. Picha na OMR
Waziri Mkuu mpya wa awamu ya
Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, akimpongezwa na mkewe baada ya
kuapishwa rasmi leo kwenye Viwanja vya Ikulu ndogo Chamwino mjini
Dodoma, leo Nov 20, 2015.Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mbunge
wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Martha Mlata, kwenye viwanja vya Ikulu
ndogo Chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa awamu
ya Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa zilizofanyika leo Nov 20,2015
mjini Dodoma. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mbunge
wa Peramiho, Mhe Jenister Mhagama, kwenye viwanja vya Ikulu ndogo
Chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa awamu ya
Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa zilizofanyika leo Nov 20,2015 mjini
Dodoma. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mbunge
wa Viti Maalum Mkoa wa Mjini Magharibi, Asham Abdallah Juma, kwenye
viwanja vya Ikulu ndogo Chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri
Mkuu mpya wa awamu ya Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa zilizofanyika
leo Nov 20,2015 mjini Dodoma. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mbunge
wa Nzega, Hussein Bashe, kwenye viwanja vya Ikulu ndogo Chamwino wakati
wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa awamu ya Tano, Mhe. Majaliwa
Kassim Majaliwa zilizofanyika leo Nov 20,2015 mjini Dodoma. Picha na
OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mbunge
wa Shinyanga mjini Stephen Masele , kwenye viwanja vya Ikulu ndogo
Chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa awamu ya
Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa zilizofanyika leo Nov 20,2015 mjini
Dodoma. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mbunge
Mchengerwa kwenye viwanja vya Ikulu ndogo Chamwino wakati wa sherehe za
kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa awamu ya Tano, Mhe. Majaliwa Kassim
Majaliwa zilizofanyika leo Nov 20,2015 mjini Dodoma. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mbunge
wa Viti maalum Kaskazini Unguja, Angela Malembeka, kwenye viwanja vya
Ikulu ndogo Chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa
awamu ya Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa zilizofanyika leo Nov
20,2015 mjini Dodoma. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe hizo kwenye viwanja
vya Ikulu ndogo Chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu mpya
wa awamu ya Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa zilizofanyika leo Nov
20,2015 mjini Dodoma. Picha na OMR
0 comments :
Post a Comment