| Wadau wakiendelea na majadiliano katika mkutano huo. |
| Mhariri wa habari kutoka Radio Ushindi jijini Mbeya Edom Mwasamya akizungumza namna ambavyo vituo vya radio vitakavyo weza kuchangia kufanikisha zoezi hilo la siku ya Ukimwi Duniani. |
| Festo Sikagonamo kushoto Mkuu wa shirika la Elimisha pamoja na Neema Stanton Afisa Mahusiano wa Mamlaka ya Maji safi na maji taka jijini hapa wakishirika katika mkutano huo. |
| Wadau wakiendelea na majadiliano. |


0 comments :
Post a Comment