
Meneja Uhusiano wa Airtel
Bwana Jackson Mmbando akionyesha huduma mpya ya "Airtel TV" inavyofanya kazi wakati wa uzinduzi wa huduma
hiyo itakayowawezesha
wateja wa Airtel kuangalia vipindi katika vituo mbalimbali vya television
kupitia simu zao za mkononi, akishuhudia ni Meneja huduma za ziada wa Airtel,Prisca Tembo.

Meneja Uhusiano wa Airtel
Bwana Jackson Mmbando akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya
"Airtel TV" itakayowawezesha wateja wa Airtel kuangalia vipindi
katika vituo mbalimbali vya television
kupitia simu zao za mkononi.
***********
*
Kuunganishwa na chanel 8 za ndani na nje
* Kujiunga
na vifurushi vya kuangalia TV bila kikomo vya siku, wiki na mwezi
Dar es Salaam, Tanzania 19
Novemba 2015, kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua huduma ya
ziada itakayowawezesha wateja wake nchi nzima kuangalia vipindi vya
televisheni katika vituo vya ndani na nje ya nchi kupitia simu zao za
mkononi.
Huduma hii mpya ijulikanayo
kama "Airtel TV" imeunganishwa na vituo 8 za televisheni vya ndani na
nje ya nchi na kuwawezesha wateja wa Airtel kuangalia vipindi vilivyopita
katika tamsilia wanazozipenda,
0 comments :
Post a Comment