Friday, November 20, 2015
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akimsindikiza Balozi wa Norway Nchini Bi. Hanne - Marie Kaarstad aliyemtembelea leo kwenye ofisi za CCM Makao Makuu mjini Dodoma.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akiagana na Balozi wa Norway Nchini Bi. Hanne - Marie Kaarstad kwenye ofisi za CCM Makao Makuu mjini Dodoma
0 comments :
Post a Comment