WAZIRI MKUU AWAMU YA TANO NI MAJALIWA


Mbunge wa Ruangwa mkoani Lindi, Kassim Majaliwa ndiye Waziri Mkuu wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania. 

Majaliwa ambaye ni Mwalimu kitaaluma na Serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete alikuwa Naibu Waziri -Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI (ELIMU). 


Majaliwa amefanya kazi kama Naibu waziri na Agrey Mwanry chini ya Tamisemi, wakiwa chini ya mawaziri George huruma Mkuchika-2010-2012, Hawa Ghasia-2012-2015.
Majaliwa pia aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo.
Majaliwa amekuwa Mbunge wa Ruangwa tangu 2010 na alizaliwa Desemba 22, 1960. 

Alisomea ualimu chuo cha Ualimu Mtwara na mafunzo ya JKT alifanyia kambi ya Makutopora mkoani Dodoma. 

Alisoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Aliwahi kuwa Katibu wa Chama cha walimu Singida. 

Bunge litarejea baade kwaajili ya kulipigia kura jina hilo. 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment