Meneja wa
Mauzo wa Tigo Mkoa wa Mara Edwin Kisamo akitoa utambulisho kwa meza kuu. |
Meneja wa Mauzo Tigo Kanda ya Ziwa, Edgar Mapande akiongea na wageni waalikwa na wanahabari kabla ya uzinduzi wa Duka la Tigo wilayani Musoma Mjini |
Mkuu wa Wilaya ya MusomaMjini ,Mhe.Zelothe Stephen akikata utepe kufungua rasmi duka
la TigoMusomaMjini , anayeshuhudia ni Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa Beatrice Kinabo. |
Meneja wa Mauzo
Tigo Kandayaziwa, Edgar Mapande akimkabidhi simu Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mjini Mhe.Zelothe Stephen, mara baada ya uzinduzi wa duka la Tigo Musoma mjini. |
Meneja wa Mauzo Tigo
Kanda ya ziwa, Edgar Mapande akimkabidhi simu Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mara, Philip Kalangi mara baada ya uzinduzi wa duka la Tigo Musoma mjini. |
Baadhi ya wateja wakiangalia
bidhaa mbalimbali mara baada ya ufunguzi wa duka la Tigo Musoma Mjini |
Wadau mbalimbali waliohudhuria
uzinduzi |
Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mjini ,Mhe.Zelothe Stephen akiwa kwenye picha ya
pamoja na wafanyakazi wa Tigo na wadau mbalimbali. |
0 comments :
Post a Comment