Uchaguzi wa Haiti waahirishwa tena

  • Haiti
Tume ya uchaguzi nchini Haiti imearisha marudio ya uchaguzi wa urais kwa miaka mitatu sasa, licha
ya Rais Michel Martly kutangaza kuwa uchaguzi huo utaendelea.
Tume ya uchaguzi ilisema kuwa ilifanya uamuzi huo kutokana na ukosefu wa usalama.
Kumekuwa na hali ya wasiwasi juu ya marudio ya uchaguzi huo wa Urais, kukiwa na maandamano ambapo makundi ya upinzani yamedai kuwa kuna njama ya kuiba kura.

 Maandamano Haiti
Rais Martelly anazuiwa katika kugombea Urais huo.

Utawala wake unamalizika kikatiba baada ya majuma matatu na kuna hofu kuwa uchaguzi usipofanywa huenda kukazuka ghasia.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment