Uhispania:Waziri Mkuu akataa kuunda serikali

  •  Waziri mkuu wa Uhispania Mariana Rajoy
Waziri Mkuu wa muda wa Uhispania amekataa ombo la kuunda Serikali mpya.
Bwana Rajoy, ambaye chama chake kisichopendelea mabadiliko cha Popular Party kilishinda viti
vingi vya Bunge, bila kuwa na idadi ya kutosha ya kuunda Serikali, katika uchaguzi wa mwezi uliopita, alikataa ombi la Mfalme Filipe kuwa aunde Serikali.
Kwa mara ya kwanza tangu demokrasia irejee nchini Uhispania, Mfalme alikuwa mwenyekiti wa mkutano ulioshirikisha vyama vya kisiasa vinavyopingana.
 Pedro Sanchez
Ana nia ya kumaliza hali ya kutoafikiana katika kuunda Serikali.

Waandishi wanasema kuwa huenda Mfalme huyo akamsihi kiongozi wa chama cha kisosholisti Pedro Sanchez kuunda serikali mpya.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment