UMMY MWALIMU ATEMBELEA HOSPITALI TEULE YA MKOA WA GEITA

P1

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, akisalimiana na
wagonjwa kwenye kituo cha afya Nyankumbu mkoani geita.
P5
Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma,pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu
P2
Wauguzi wa wodi ya akinamama katika hospitali teule ya mkoa wa geita.
P4
Mganga mfawidhi wa hospitali teule ya mkoa wa Geita Dkt.Adam Sijaona akimdafanulia jambo waziri Ummy Mwalimu mara baada ya kutembelea hospitali hiyo.
P3 
Wagonjwa waliofika hospitalini hapo wakisubiri huduma kwenye hospitali hiyo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment