Nkupamah media:
Mjumbe wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe Prosper Mbene (MB) akifafanua jambo wakati wa Kikao cha Mafunzo cha Kamati hiyo ilipokutana na Sekta inayosimamiwa na wizara hiyo jijini Dar es Salaam.Picha na Ofisi ya Bunge
Naibu waziri wa TAMISEMI Mhe Selemain Jaffo (MB) akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Hesabu za serikali wakati wa kikao cha Kamati ilipokutana kwa ajili ya mafunzo kuhusu majukumu ya wizara ya TAMISEMI jijini Dar es Salaam.
Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson (MB) akiongea na Waandishi wa Habari mara baada ya kutembelea Kamati za Kudumu za Bunge ambazo zipo katika mafunzo kuhusu maeneo yao ya kazi jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Viwanda na Biashara Mhe. Vicky Kamata (MB) akiongoza kikao cha Kamati hiyo jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Charles Mwijage (MB).
Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti Mhe Hawa Ghasia (MB) akiongoza kikao cha Kamati hiyo wakati wa mafunzo ya wiki moja kwa kamati hiyo jijini Dar es Salaam.


0 comments :
Post a Comment