Kasi ya Magufuli Yainufahisha Hospital ya Muhimbili Kwa Mapato Kuongezeka...



Hospitali ya Taifa ya rufaa Muhimbili, imesema baada ya kuongeza kasi ya usimamizi wa wafanyakazi katika hospitali hiyo, imeongeza mapato na yamefikia Bilioni 4.3 kwa mwezi Januari pekee

Ongezeko hilo limetokana kutengenezwa kwa mashine za MRI na CT-SCAN, mashine ya CT-SCAN imeshapima wagonjwa 1,000 na MRI imepima wagonjwa 2,200
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment