Agness Masogange Aibuka na Kusema Haya ' Mnapoteza Muda Wenu Kunijadili Mimi'

Nkupamah media:


Video Queen maarufu Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ amewataka watu kufanya kazi na kuacha kumjadili kwani kwa kufanya hivyo wanapoteza bure muda wao.

Akiteta na GPL, Masogange alisema watu wamekuwa hawafanyi mambo yao binafsi bali kujadili mambo ya watu wengine kitu ambacho siyo sahihi.

“Mimi naona wanapoteza muda tu kunijadili, wangefanya mambo yao wangeweza kuendelea kuliko kunijadili mimi hapa naona watachelewa kwenye mafanikio yao,” alisema Masogange.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment