nkupamah media:
Msanii wa filamu, Shamsa Ford kushoto akipambana na Mtangazaji wa Radio TIMES FM, KHADIJA SHAIBU "DIDA' wakati wa mashindano ya taifa ambapo wao walioneshana umwamba |
Msanii wa filamu, Shamsa Ford kushoto na MTANGAZAJI WA TIMES FM,KHADIJA SHAIBU "DIDA' wakinyoshwa mikono juu baada ya mpambano wao wakati wa mashindano ya taifa ambapo wao walionesha umwamba
Msanii wa filamu, Shamsa Ford kushoto na MTANGAZAJI WA TIMES FM,KHADIJA SHAIBU "DIDA'
Mjumbe wa maendeleo ya wanawake BFT Aisha Voniatis akimvisha medali ya dhahabu bondia Leonard Machichi wakati wa mashindano ya taifa
Mjumbe wa maendeleo ya wanawake BFT Aisha Voniatis akimvisha medali ya dhahabu bondia Zulfa Macho. kulia ni bondia Halima Ramadhani wa pili kushoto ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ndondi Tanzania (BFT), Makore Mashaga
0 comments :
Post a Comment