Rais
John Pombe Joseph Magufuli akiongea na baadhi ya makundi yaliyoshiriki
naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru
Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi February 18, 2016.
Waziri
Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akisalimia katika mkutano wa Rais John Pombe
Joseph Magufuli na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye kwenye kampeni
ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu jijini Dar es
salaam leo Alhamisi February 18, 2016.
Makamu
wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimia katika mkutano wa Rais
John Pombe Joseph Magufuli na baadhi ya makundi yaliyoshiriki naye
kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita kuwashukuru Ikulu
jijini Dar es salaam leo Alhamisi February 18, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Msanii wa Kundi la Orijino
Komedi, Lucas Mhavile, maarufu kwa jina la Joti katika mkutano kati ya
Rais John Magufuli na Wasanii uliofanyika Ikulu jijini Dar es salaam
Februari 18, 2016.
PICHA NA IKULU



0 comments :
Post a Comment