TASWIRA MBALI MBALI ZA HALI YA MAFURIKO KATIKA ENEO LA KIBAIGWA MKOANI DODOMA

Nkupamah Media:

 Kutoka na Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali hapa nchini, imepeleka kujaa maji katika eneo hili la Kibaigwa Mkoani Dodoma na kufanya magari kupita kwa shida katika Barabara kuu itokayo Morogoro kwenda Dodoma, kama ionekanavyo pichani.Picha na Othman Michuzi.
 Askari Polisi kwa kikosi cha Usalama Barabarani wakisimamia zoezi la upishanaji wa Magari katika eneo hilo, kutokana na uwingi wa maji yanayotokana na Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali hapa nchini.
 Magari yakilazimika kupita upande mmoja wa barabara.
 Hali ilivyo katika eneo kubwa la mashamba yaliopo eneo hilo la Kibaigwa.
 Mvua hizo zilivyofanya uharibifu.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment