CCM Chawafukuza Uanachama Wananchama 25 Kwa Madai ya Kukisaliti Chama Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu 2015.

Nkupamah media:

Chama cha Mapinduzi(CCM) Kigoma, chawafukuza uanachama wananchama 25 kwa madai ya kukisaliti chama kipindi cha Uchaguzi mkuu 2015.

Uamuzi huo wa kuwafuta uanachama ulitolewa na kikao cha halmashauri kuu cha Mkoa kilichofanyika tarehe 2 Machi mwaka huu.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment