KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE YAKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE


Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Balozi Adad Rajab akimkaribisha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (hayupo pichani) kuwasilisha taarifa ya Wizara kuhusu Sera, Muundo na Majukumu kwa Wajumbe wa Kamati hiyo. Kikao hicho ambacho kiliwahusisha pia Wakurugenzi kutoka Wizarani kilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Machi, 2016.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akiwasilisha mada kuhusu Sera, Muundo na Majukumu ya Wizara kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (hawapo pichani)


Sehemu ya Wabunge wakimsikiliza Naibu Waziri alipowasilisha taarifa ya Wizara.
Mkurugenzi wa Chuo cha Diplomasia kilichopo Kurasini Jijini Dar es Salaam, Balozi Mohammed Maundi akiwasilisha taarifa ya utendaji ya Chuo hicho ambacho ni moja ya Taasisi za  Wizara
Wabunge wakifuatilia uwasilishwaji wa taarifa za Wizara
Katibu Mtendaji wa Mpango wa Nchi za Afrika kujitathmini kiutawala Bora (APRM) kwa upande wa Tanzania, Bibi Rehema Twalib akiwasilisha taarifa kuhusu taasisi hiyo ambayo ipo chini ya Wizara ya Mambo ya Nje
Sehemu nyingine ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakiwa kikaoni
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC), Bw. Elishilia Kaaya naye akiwasilisha taarifa ya kituo hicho kwa Kamati ya Bunge.
Sehemu ya Wakurugenzi kutoka Wizarani wakifuatilia uwasilishwaji wa taarifa
Wakurugenzi
Baadhi ya Wakurugenzi kutoka Wizarani wakati wa kikao
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akitolea ufafanuzi baadhi ya hoja wakati wa kikao na Kamati ya Bunge
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati wakifuatilia.
Sehemu nyingine ya Wakurugenzi wa Wizara
Mkutano ukiendelea
Mhe. Dkt. Kolimba akizungumza na Waandishi wa Habari

Senior Dealer, Credit Administration Officer, Security Management, Credit Administration Officer, Monitoring, Senior Risk and Compliance Officer, Finance Manager, Finance Officer, Administration Manager, Customer Service Manager,Central Operations Manager, Treasury Back Office Officer, Central Clearing Officer, Back Office Supervisor, Branch Manager, Relationship Manager , Head Teller, Tellers, Customer Service Officer,Personal Assistant, Receptionist, Driver

Mwalimu Commercial Bank PLC (In-Formation) – Posted by TAYOA1Dar es Salaam, Dar es Salaam, Tanzania
 0  0

Job Description

MWALIMU COMMERCIAL BANK PLC (IN-FORMATION)
JOB OPPORTUNITIES
Mwalimu Commercial Bank PLC (In-Formation) is a new bank licensed by the Bank of Tanzania to operate as a commercial bank, and is in its final stages of setting up operations. The major shareholders of the bank include Tanzania Teachers; Union(TTU), Teacher’s Development Company Limited (TDCL), PublicService Pension Fund (PSPF) and the National Insurance Fund (NHIF).MCB is now seeking to recruit the following vacant positions:-

1. Senior Dealer
2. Credit Administration Officer, Security Management
3. Credit Administration Officer, Monitoring
4. Senior Risk and Compliance Officer
5. Finance Manager
6. Finance Officer
7. Administration Manager
8. Customer Service Manager
9. Central Operations Manager
10. Treasury Back Office Officer
11. Central Clearing Officer
12. Back Office Supervisor
13. Branch Manager
14. Relationship Manager
15. Head Teller
16. Tellers
17. Customer Service Officer
18. Personal Assistant
19. Receptionist
20. Driver

If you meet above requirements, please send your cover letter (clearly indicating preferred position) and latest Curriculum Vitae (You should not attach copies of certificates or transcripts) to mcbrecruit@mcb.c0.tz or by post office mentioned below to reach us by Wednesday 23rd March 2016.
Only shortlisted candidates will be contacted.
Write to: The Chief Executive Officer, Mwalimu Commercial Bank Plc (In-Foramtion), P.O. Box 61002, dar es Salaam, Tel: +255 222775131
Source: The Guardian 16th March 2016
- See more at: http://www.vijanatz.com/tz/jobs/?job_listing=senior-dealer-credit-administration-officer-security-management-credit-administration-officer-monitoring-senior-risk-and-compliance-officer-finance-manager-finance-officer-administration-manag#sthash.UJnOvsrP.dpuf

Senior Dealer, Credit Administration Officer, Security Management, Credit Administration Officer, Monitoring, Senior Risk and Compliance Officer, Finance Manager, Finance Officer, Administration Manager, Customer Service Manager,Central Operations Manager, Treasury Back Office Officer, Central Clearing Officer, Back Office Supervisor, Branch Manager, Relationship Manager , Head Teller, Tellers, Customer Service Officer,Personal Assistant, Receptionist, Driver

Mwalimu Commercial Bank PLC (In-Formation) – Posted by TAYOA1Dar es Salaam, Dar es Salaam, Tanzania
 0  0

Job Description

MWALIMU COMMERCIAL BANK PLC (IN-FORMATION)
JOB OPPORTUNITIES
Mwalimu Commercial Bank PLC (In-Formation) is a new bank licensed by the Bank of Tanzania to operate as a commercial bank, and is in its final stages of setting up operations. The major shareholders of the bank include Tanzania Teachers; Union(TTU), Teacher’s Development Company Limited (TDCL), PublicService Pension Fund (PSPF) and the National Insurance Fund (NHIF).MCB is now seeking to recruit the following vacant positions:-

1. Senior Dealer
2. Credit Administration Officer, Security Management
3. Credit Administration Officer, Monitoring
4. Senior Risk and Compliance Officer
5. Finance Manager
6. Finance Officer
7. Administration Manager
8. Customer Service Manager
9. Central Operations Manager
10. Treasury Back Office Officer
11. Central Clearing Officer
12. Back Office Supervisor
13. Branch Manager
14. Relationship Manager
15. Head Teller
16. Tellers
17. Customer Service Officer
18. Personal Assistant
19. Receptionist
20. Driver

If you meet above requirements, please send your cover letter (clearly indicating preferred position) and latest Curriculum Vitae (You should not attach copies of certificates or transcripts) to mcbrecruit@mcb.c0.tz or by post office mentioned below to reach us by Wednesday 23rd March 2016.
Only shortlisted candidates will be contacted.
Write to: The Chief Executive Officer, Mwalimu Commercial Bank Plc (In-Foramtion), P.O. Box 61002, dar es Salaam, Tel: +255 222775131
Source: The Guardian 16th March 2016
- See more at: http://www.vijanatz.com/tz/jobs/?job_listing=senior-dealer-credit-administration-officer-security-management-credit-administration-officer-monitoring-senior-risk-and-compliance-officer-finance-manager-finance-officer-administration-manag#sthash.UJnOvsrP.dpuf
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment