KATIBU BODI YA FILAMU AWAPOKEA WASHINDI WA TUZO ZA FILAMU BORA AFRICA(AMVCA)

Nkupamah media:

FIS1
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania Bi.Joyce Fissoo (kushoto) akiwa pamoja na mshindi wa tuzo ya Filamu Bora ya Lugha ya Kiswahili Afrika Bw.Single “Richie” Mtambalike baada ya kuwapokea leo jijini Dar es Salaam.Richie amepata tuzo iyo kupitia filamu ya Kitendawili  ambayo amecheza na Yvone “Monalisa”Cherry.
FIS2
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania Bi.Joyce Fissoo (kulia) akiwa na Vyone ‘Monalisa’ Cherry ambaye ameshiriki kucheza filamu iliyoshinda tuzo ya Filamu Bora ya Lugha ya Kiswahili Afrika inayoitwa Kitendawili.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment