MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA WIZARA YA AFYA

Waziri wa  Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh Ummy Mwalimu akizungumza na wageni kutoka UNICEF walipomtembelea ofisini kwake. Wakwanza kushoto ni Maniza Zaman muwakilishi kutoka  Chief UNICEF Tanzania na wapili kushoto ni Sudha Shara afisa kutoka UNICEF.
1vif
Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ndg. Michael John akikabidhi vifaa muhimu kwaajili ya udhibiti salama wa taka zitokanazo na huduma za afya na usafi kwa hospitali za mfano za mikoa 12 na Wilaya 2 nchini.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment