NAPE ATEMBELEA KIJIJI CHA SUDI NA MTAMA JIMBONI KWAKE

New Picture

Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na wananchi wa kijiji cha Sudi kwenye mkutano wa kuwashukuru na kuwapa taarifa za mambo ambayo ameshafanya mpaka sasa.

New Picture (7) 
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauyeakihutubia wakazi wa kata ya Mtama na Majengo .
New Picture (8) 
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauyeakihutubia wakazi wa kata ya mtama waliojitokeza kumsikiliza nje ya ofisi za Mbunge aliwaambia wananchi hao kuwa makini katika masuala ya kuuza ardhi hovyo .
New Picture (2) 
Wakazi wa kijiji cha Sudi wakimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye.
New Picture (1) Diwani wa kata ya Sudi Bw. Ali Athumani Njai akizungumza kwenye mkutano na wananchi wa kijiji cha Sudi ambapo aliwaambia kuwa huu ni wakati wa kushirikiana na kufanya kazi za maendeleo pamoja.
New Picture (3) 
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiangalia jengo la mahakama (halitumiki kwa sasa) la mwaka 1939 lililopo kwenye kijiji cha Sudi.
New Picture (4) 
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na Diwani wa kata ya Sudi Ndugu Ali Athumani Njai mara baada ya kutembelea majengo ya serikali ya kijiji ambayo hayatumiki kwa sasa.
New Picture (5) 
Wakazi wa Mtama wakimpokea Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye wakati alipokuwa akiwasili kwenye eneo la mkutano nje ya ofisi za Mbunge Jimbo.
New Picture (6)  
  Kikundi cha Hamasa kikiimba nyimbo za kumkaribisha Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment