Breaking News: Magufuli Ashusha Kodi Ya Mishahara Ya Watumishi



Rais wa Jamuhuri Ya  muungano wa tanzania Mh Dkt Magufuli Leo katika sherehe Ya Mei mosi Ametangaza  kushusha Kodi ya  mishahara ya watumishi kutoka asilimia 11  hadi  asilimia 9 kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017 Julai mosi mwaka  huu. endelea kutembelea mtandao huu kwa habari zaidi.
Sky One blog.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment