Wasanii
wa Lusaka wakicheza ngoma ya asili ya Zambia katika mkutano wa Benki ya
Maendeleo ya Afrika - ADB uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha
Mlungushi Zambia Mei 24, 2016. Tanzania iliwakilishwa na Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Zambia, Edgar Lungu
katika Mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika - ADB kwenye Kituo cha
Mikutano cha Mlungushi kilichopo Lusaka Zambia , Mei 24, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu wa Msumbiji, Carlos
Agostino do Rosario katika Mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika - ADB
kwenye Kituo cha Mikutano cha Mlungushi kilichopo Lusaka Zambia , Mei
24, 2016.
Rais
wa Zambia, Edgar Lungu akifungua Mkutano wa Benki ya Maendeleo ya
Afrika - ADB kwenye Kituo cha Mikutano cha Mlungushi kilichopo Lusaka
Zambia , Mei 24, 2016.Kushoto kwake ni Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa
ambaye alimwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano huo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Mkutano wa Benki ya
Maendeleo ya Afrika - ADB kwenye Kituo cha Mikutano cha Mlungushi
kilichopo Lusaka Zambia , Mei 24, 2016. Wengine pichani kutoka kushoto
ni Makamu wa Rais wa Nigeria, Prof. Yemi Osinbojo, Rais wa Chad, Idriss
Debyo, Rais wa Zambia, Edgar Lungu na Waziri Mkuu wa Msumbiji, Carlos
Agostino do Rosario (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Blogger Comment
Facebook Comment