Freeman Mbowe Azungumza Haya Baada ya Yeye na Wenzake Kukamatwa na Polisi Mwanza


Baada ya kukamwatwa jana na kuhojiwa na polisi, jijini Mwanza, akiwa na baadhi ya viongozi wa Kanda ya Ziwa na wanachama wakati akizungumza katika ‘vijiwe’ vya chama hicho, Mwenyekiti wa (Chadema), Freeman Mbowe, amesema kukamatwa kwake kunaonyesha polisi wanavyoleta utawala wa kutisha wananchi ili wawe na hofu. “Polisi wasilete utawala wa kutisha wananchi. Viongozi ni wajibu wao kuzungumza na wananchi ili kufahamu matatizo yao pamoja na kuimarisha chama,” amesema Mbowe.
Toa maoni yako huku ukituambia unadhani nani ni tatizo?
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment