Rais Magufuli aahidi kumnunulia mlemavu baskeli

Rais Magufu amehidi kuwa atamnunulia mlemavu huyu baiskeli ya magurudumu matatu

Image copyrightTBC
Image captionRais Magufu amehidi kuwa atamnunulia mlemavu huyu baiskeli ya magurudumu matatu
Rais wa Tanzania John Magufuli ameahidi kuwa atamnunulia baiskeli ya magurudumu matatu, mwanamme mmoja mwenye ulemavu, baada ya kumuona wakati wa matangazo ya habari akitumia kwa umahiri mkubwa baiskeli ya kawaida.
Katika taarifa iliyosomwa wakati wa matangazo ya habari, Rais Magufuli alisema kuwa atatumia pesa kutoka kwa mshahara wake mwenyewe kununua baiskeli hiyo na kumkabidhi mwanamme huyo baada ya juma moja.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment