Haya Hapa Majibu Ya Afande Sele Kuhusu kujiunga CCM ...........…




Ni October 15, 2016 ambapo msanii mkongwe kutoka Bongoflevani, Afande Sele aliingia kwenye headlines mitandaoNI za kuhusu kuhamia CCM kutokana na picha iliyosambaa ikimuonesha akiongea kwenye msafara uliosimamishwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu mkoani Morogoro.
Kaongea haya>>Hizo taarifa si kweli na napokea simu nyingi sana kuhusu habari uliyoisikia ile siku nilipata mualiko wa Serikali kuzungumza machache baada ya Makamu wa Rais mama yetu Samia Suluhu alipofika mkoani kwetu sikuwa pekee yangu bali nilikuwa na mkuu wa mkoa naomba watu wajue kwamba mimi bado nipo katika chama changu cha ACT’
Unaweza ukabonyeza play kumsikiliza Afande Sele
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment