SIKILIZA AUDIO: Alichokizungumza RC Gambo baada ya taarifa zilizodai kutenguliwa kwake kusambaa



Leo August 19 2016 zimesambaa taarifa zilizomhusu mkuu wa mkoa wa Ausha, Mrisho Gambo, taarifa hizo zilidai kuwa Rais Magufuli ametengua uteuzi wa mkuu huyo wa mkoa hata hivyo ikulu imekanusha taarifa hizo kuwa hazina ukweli wowote.
RC Gambo wakati akiwa kwenye kikao na wafanyabiashara amelizungumzia hilo pia na kusema watu wapuuze taarifa zilizotolewa kwenye mitandao kwamba ametenguliwa kwenye nafasi yake na amesema  Rais amempigia simu  akamwambia anamwamini na ataendelea kukaa Arusha kwa ajili yakufanya kazi kwa ajili ya wananchi.
Unaweza kubonyeza play hapa chini

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment