PICHA 9: Yanga Yanga Yaiifumua Toto Africans Mbili Mtungi


Jumatano ya October 19 Ligi Kuu soka Tanzania bara iliendelea kama kawaida kwa michez0 mitano kuchezwa huku mchezo wa sita wa Azam vs Mtibwa Sugar ukitarajiwa kuchezwa usiku wa leo katika uwanja wa Azam Complex Mbande Chamazi.
img-20161019-wa0033
Kwa upande wa Mabingwa watetezi Dar es Salaam Young Africans ilirudi kanda ya ziwa kucheza dhidi ya Toto Africans huku ikiwa na kumbukumbu ya kufungwa goli 1-0 na Stand United siku kadhaa nyuma katika uwanja wa Kambarage Shinyanga, hiyo ilikuwa ni baada ya kuvuna point tatu dhidi ya Mwadui FC.
img-20161019-wa0049
Yanga wamerudi kanda ya ziwa safari hii kucheza dhidi ya Toto Africans na wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0, magoli ambayo yalifungwa na mzambia Obrey Chirwa dakika ya 28 na goli la pili lilifungwa na Simon Msuva dakika ya 55 kwa mkwaju wa penati, Obrey Chirwa leo anakuwa kafunga goli lake la pili akiwa na Yanga.
img-20161019-wa0037
img-20161019-wa0032
img-20161019-wa0051
img-20161019-wa0043
img-20161019-wa0048
img-20161019-wa0041
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment