Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam leo ameingia awamu ya pili ya kupambana na madawa ya kulevya na ametaja watu wanaotuhumiwa kuhusika na madawa ya kulevya kwa namna moja ama nyingine.
Mwenyekiti
wa CHADEMA Freeman Mbowe na Mchungaji Gwajima ni miongoni wa watu
waliotajwa katika tuhuma za madawa ya kulevya na wamehitajika kufika
central polisi siku ya Ijumaaa
Makonda: Awamu ya pili ya kupambana na madawa ya kulevya tumeianza leo.
Makonda: Nina orodha ya watu wengine ambao wanatakiwa kuripoti polisi siku ya Ijumaa
Makonda: Tutapita nyumba kwa nyumba, kila nyumba inayohisiwa, tutaingia, nawashukuru wenyeviti wa mitaa
Makonda: Hii vita tukishindwa, tumeshindwa wote, kuna watu wamekaa wanafikiri Makonda atashindwa
Makonda: Leo nina majina 65, juzi ile walikuwa kumi na kitu, mtasikia mtikisiko kidogo. Nataka tukutane nao.
Makonda: Wa kwanza ni mmiliki wa Slip Way, wenye klabu ya Yatch Klabu, Salehe wa MMI, Mwinyi Machapta
Makonda:Kuna dada yangu anaitwa Rose yuko China, kuna Mzee wangu anaitwa Kiboko anaishi Mbezi
Makonda: Kila tunayemuita ajue tunamfahamu kuliko anavyofikiri. Kuna mtu anaitwa Hafidh anaishi Mbezi Mwisho
Makonda: Kuna kaka yangu mpendwa mbunge mstaafu, Idd Azzan, naye namuhitaji
Makonda: Kuna kaka yangu Aikael Mbowe Mbunge wa hai ambaye ni mkazi wa DSM, kuna Bossi Kizenga wa Bunju
Makonda: Nassoro Selem wa Mabibo, kuna ndugu yangu Hussein Pamba Kali, pamoja na Mchungaji Gwajima
Makonda: Pamoja na kaka yangu Yusuph Manji pia namuhitaji, Mmiliki wa Sea Clif pia namuhitaji
Makonda: Makapuni matatu ya meli ambayo ni pamoja na Tanga Petrolium Ltd, GBP Tanzania Limited
Makonda: Kwenye zile nyumba ambazo wananchi mnazitilia shaka, toeni taarifa
Makonda: Awamu ya pili ya kupambana na madawa ya kulevya tumeianza leo.
Makonda: Nina orodha ya watu wengine ambao wanatakiwa kuripoti polisi siku ya Ijumaa
Makonda: Tutapita nyumba kwa nyumba, kila nyumba inayohisiwa, tutaingia, nawashukuru wenyeviti wa mitaa
Makonda: Hii vita tukishindwa, tumeshindwa wote, kuna watu wamekaa wanafikiri Makonda atashindwa
Makonda: Leo nina majina 65, juzi ile walikuwa kumi na kitu, mtasikia mtikisiko kidogo. Nataka tukutane nao.
Makonda: Wa kwanza ni mmiliki wa Slip Way, wenye klabu ya Yatch Klabu, Salehe wa MMI, Mwinyi Machapta
Makonda:Kuna dada yangu anaitwa Rose yuko China, kuna Mzee wangu anaitwa Kiboko anaishi Mbezi
Makonda: Kila tunayemuita ajue tunamfahamu kuliko anavyofikiri. Kuna mtu anaitwa Hafidh anaishi Mbezi Mwisho
Makonda: Kuna kaka yangu mpendwa mbunge mstaafu, Idd Azzan, naye namuhitaji
Makonda: Kuna kaka yangu Aikael Mbowe Mbunge wa hai ambaye ni mkazi wa DSM, kuna Bossi Kizenga wa Bunju
Makonda: Nassoro Selem wa Mabibo, kuna ndugu yangu Hussein Pamba Kali, pamoja na Mchungaji Gwajima
Makonda: Pamoja na kaka yangu Yusuph Manji pia namuhitaji, Mmiliki wa Sea Clif pia namuhitaji
Makonda: Makapuni matatu ya meli ambayo ni pamoja na Tanga Petrolium Ltd, GBP Tanzania Limited
Makonda: Kwenye zile nyumba ambazo wananchi mnazitilia shaka, toeni taarifa
0 comments :
Post a Comment