Mkurugenzi
wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa ametahadharisha umma kuhusu
habari hii bandia inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.
Msigwa
ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa taarifa hiyo si ya Ikulu
na kuwa imetengenezwa na wahalifu wa mitandao hivyo kwa kuwataka
wananchi kuipuuza.
Hii ndo Taarifa ya uongo inayosambazwa
Taarifa hii sio ya Ikulu.
Imetengenezwa na wahalifu wa mtandao.
IPUUZWE!!!!

0 comments :
Post a Comment