James Delicious Amlilia Mungu. Adai Hana Raha ya Maisha Kufuatia Agizo la Waziri



Ameandika James Delicious Baada la Agizo kutoka kwa waziri kuwa akaripoti polisi kutokana na kujihusisha na vitendo vya ushoga:

"Oooh my God NAPIGIWA SIMU KAMA MWEHU..KUMBE NAPEWA TALIFA MBAYA TENA NATAKIWA KUKAMATWAA Okay.. Yupo msemaji wangu Wa mwisho. Na nimunguuu.. Pekeeee .. Coz only God can judge me Sito ogopa chochote.

Naiman ntayashinda ya DuniiiaWhy nikamatweee Dunia nzimaaa Niko peke yangu. And kwa ushahid upiii ??? Ooooh.. Wanataka nikose aman na maisha yangu

Kwan kuna anae nilishaa ??? Kuna anaenijuaa chimbuko langu ??? Why wanataka nikoseee rahaa ya maishaaa. Ooooh my God sina lakuongea kwakweli siiiinaaaaa yaaaan mwili wotee umeshikwaa ganziii Sjuuui mama angu akizskiaa talifa hiz atapata halii Gan uko alikoo .sjuui kesho kwenye media nyaandikwajee.

Najuuuta nandomana roho yangu tokaaa mwanzo ilikuwa inasitaa kujiungaa instaa. hasara zakee ndohiiiz.

Okay..

Nasubili hukumuuu. #sinarahayamaisha "
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment