PICHA & VIDEO: Nape Nnauye alipoingia mwenyewe Kariakoo kukagua kazi feki



Leo Feburuary 17 2016 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Nape Nnauye amefanya ziara ya kushtukiza kwenye Maduka ya CD Kariakoo Dar es salaam kuangalia wanaosambaza kazi feki za Wasanii ambapo baada ya kukagua ameongea na AyoTV kueleza kila kitu kwenye video ambayo iko chini ya hizi picha.


















Hii video hapa chini inayo maelezo yote aliyoyasema Nape Nnauye kuhusu ziara yake ya kushtukiza leo Kariakoo
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment