Kaseja ametangazwa mshindi wa tuzo hiyo aliyokuwa anawania na wachezaji wengine wawili, ambao ni Mbaraka Abeid anayecheza nae Kagera Sugar na Jamal Mtengeta anayeichezea Toto African ya Mwanza, Kaseja sasa atapewa zawadi ya Tsh milioni moja kutoka Vodacom.

Juma Kaseja


0 comments :
Post a Comment