Baada ya jina la Manji kutajwa, ameita vyombo vya habari na kueleza kuwa hakuna haja ya kufika Polisi Ijumaa, yeye atafika kesho na kutoa maelezo lakini baada ya hapo atafungua kesi kwa jina lake kutangazwa kuhusishwa na tuhuma hizo, hii video hapa chini ina taarifa kamili


0 comments :
Post a Comment