Baada ya kukaa kituoni hapo kwa zaidi ya dakika 60, Waandishi wa habari waliokua nje ya eneo hilo walishuhudia Mwenyekiti huyo akichukuliwa na Gari aina ya Land Cruiser iliyofatwa na magari mengine nyuma yake na kuelekea ambako Waandishi hawakufahamu mara moja.
Utaratibu huu wa kuwaondoa kituo cha Polisi kati ulifanyika pia kwa Askofu Gwajima na Mfanyabiashara Yusuph Manji ambapo baadae ilikuja kujulikana walipelekwa kwa Mkemia mkuu kupimwa kama wanahusika na utumiaji wa dawa za kulevya.
Endelea kukaa karibu na www.nkupamahmedia.com utaendelea kupata taarifa za kila kinachoendelea kwenye anga la Tanzania na nje ya Tanzania,
Video yenyewe ya gari lililomchukua Freeman Mbowe leo ndio hii hapa chini bonyeza play kuitazama


0 comments :
Post a Comment