VIJANA ZAIDI YA 1000 KUTOKA VYUO VIKUU KUKUTANISHWA JIJINI DAR

WENA
 Mwanzilishi wa Saccos cha Wanawake Wajasiriamali Tanzania (TASWE) Dkt. Anna Matindi akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Vijana kutoka Vyuo Vikuu vya ndani na nje ya nchi,leo Jijini Dar es Salaam.  Kushotoni Katibu wa Chama cha Vijana Wajasiriamali – Taswe Bi. Adelaida Ngowi. Mkutano huo unatarijiwa kufanyika tarehe 24 Machi, 2017 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Osterbey huku kauli mbiu yake ikiwani “Badilisha Mtazamo wa Vijana wajielekeze katika Sekta Binafsi” .
WENA 1
Mwanzilishi wa Chama cha Kuweka na Kukopa cha Wanawake Wajasiriamali Tanzania (TASWE) Dkt. Anna Matindi akizungumza na waandishi wa habari kuhusukuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Vijana kutoka Vyuo Vikuu vya ndani na nje ya nchi,leoJijini Dar es Salaam.  Kutoka kushoto ni Katibu wa Chama cha VijanaWajasiriamali – Taswe Bi. Adelaida Ngowi, Mwanachama wa Taswe Bi. Grace Kimaro. Mkutano huo unatarijiwa kufanyika tarehe 24 Machi, 2017 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Osterbey huku kauli mbiu yake ikiwa ni “Badilisha Mtazamo wa Vijana wajielekezekatika Sekta Binafsi” .
WENA 2
 Mwanachama wa Chama cha Kuweka na Kukopa cha Wanawake Wajasiriamali Tanzania (TASWE) Bibi. Leah Paul Dennis akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habar ikuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Vijana kutoka Vyuo Vikuu vya ndani na nje ya nchi,leo Jijini Dar es Salaam.  Kutoka kushoto ni Katibu wa Chama cha VijanaWajasiriamali – Taswe Bi. Adelaida Ngowi,Mwanzilishiwa Chama hicho Bibi.Anna Matinde na Bi. Grace Kimaro. Mkutano huo unatarijiwa kufanyika tarehe 24 Machi, 2017 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Osterbey huku kauli mbiu yake ikiwani “Badilisha Mtazamo wa Vijana wajielekezekatikaSektaBinafsi”
Pichana: Frank Shija – MAELEZO.
Na: Frank Shija – MAELEZO
VIJANA zaidiya 1000 kutokaVyuoVikuumbalimbalivyandaninanjeyanchikukutanishwajijini Dar esSalaam katikaMkutanowaKimataifautakaofanyikatarehe 24 Machi2017katikaukumbiwaKardinaliRugambwa, OsterbayJijini Dar es Salaam.
HayoyamebainishwanaMwanzilishiwa Chama cha KuwekanaKukopa cha WajasiriamaliWanawake Tanzania (TASWE) Anna Matindewakatiakizungumzanawaandishiwahabarikuhusumkutanohuoleojijini Dar es Salaam.
Bibi. Matindeamesemakuwa TASWE kwakushirikinanaKikundi cha Kwayaya Remnant Generation wameandaaMkutanomaalumkwaajiliyavijanawaVyuoVikuukwaleongo la kuwajengeauywezonakuwabadilishafikrailiwatambuefursazilizopokatikaSektabinafsi.
“Tarehe 24 mweziMachikutakuwanaMkutanomkubwawaKimataifaambapovijanakutokaVyuoVikuumbalimbaliwatashirikinakujengewauwezo”. AlisemaMatinde.
Kwa upandewake KatibuwaVijanaWajasiriamalikutoka TASWE amaesemakuwalengokubwa la mkutanohuonikuwakutanishavijananakuwapaelimuitakayowabadilishamitazamoyenyelengo la kuwafanyawafikiriekujikitakatikaSektabinafsibadalayakutegemeakuajiriwapindiwatakapomalizamasomoyaoyaelimuzajuu.
Aliongezasambambanakubadilishamitazamoyaomkutanohuoutasaidiakuwaondoleamsongowamawazoutokanaonaukosefuwaajirapamojanaukwelikwambawahitimuwamekuwawakiongezekasikuhadisikuhukuajirazikikuakwakasindogo.
“TakribaniVijana 1200 kutokaVyuoVikuumbalimbalindaninanjeyanchiwanatarajiakukutanaikiwalengokubwanikuwasaidiavijanahaonakutambuakuwaujasiriamalinisehemuyaajira”, alisisitiza Bi. Adelaida.
MkutanohuowaKimataifawaVijanaunaandaliwakwaushirikianobainayaChama cha KuwekanaKukopa cha WajasiriamaliWanawake Tanzania (TASWE)naKikundi cha Wanakwaya cha Remnant Generation kinachojaliwahitajikwakusaidiamahitajiya. Kaulimbiuyamkutanohuoni “BadilishaMtazamowaVijanawajielekezekatikaSektaBinafsi”.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment