• Home
  • PARADISE BLOG
  • Contact US
  • MAONI

Tz News Blog

Habari,Matukio,Picha ulimwenguni kote.



  • Home
  • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • Fashion2
  • KIMATAIFA
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • JAMII
  • MICHEZO
  • SIASA
  • MAGAZETI
Home / KIMATAIFA / Israel Yapiga Marufuku Sauti Za Adhani Misikitini

Israel Yapiga Marufuku Sauti Za Adhani Misikitini

03:46 KIMATAIFA Edit

 Mimbari ya msikiti nchini Israel ilio na kipaza sauti      


 Mimbari ya msikiti nchini Israel ilio na kipaza sauti 

Kulikuwa na hisia kali katika bunge la Israel siku ya Jumatano wakati lilipopitisha sheria kuzuia vipaza sauti miongoni mwa taasisi za kidini. 

Matoleo mawili ya ''muswada wa Muezzin'' ambao ungeathiri wito wa ibada miongoni mwa Waislamu 'Adhan' ulisomwa kwa mara ya kwanza na kupitishwa na wachache.

Baadhi ya wabunge Waarabu walizikatakata baadhi ya nakala za muswada huo wakati wa mjadala.

Muswada huo utalazimika kusomwa kwa mara nyengine na kupitishwa kabla ya kufanywa sheria.

Toleo moja la muswada huo linapiga marufuku taasisi zote za kidini kutumia vipaza sauti kati ya saa tano na saa moja.

Toleo jingine linapiga marufuku vipaza sauti vinavyoonekana kuwa na kelele zaidi muda wowote wa siku.

Ni marekebisho ya muswada ulioidhinishwa na baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu mnamo mwezi Novemba.

Bwana Netanyahu alisema kuwa amepokea malalamishi kadhaa utoka katika jamii zote za Israel kuhusu kelele na matatizo wanayopata kutokana na kelele hizo zinazotoka katika vipaza sauti.


  
 Mbunge aliyekasirishwa na muswada huo na kuamua kuukatakata
Mbunge aliyekasirishwa na muswada huo na kuamua kuukatakata
Mmoja ya watu wanaopigia debe muswada huo Motti Yogev wa chama cha Jewish Home Party alisema siku ya Jumatano kwamba ni muswada unaolenga kuwasaidia raia kupumzika

''Hatuna nia ya kuwaumiza wafuasi wa dini yoyote'', aliongezea.

Wakosoaji wa muswada huo wanasema kuwa unakandamiza uhuru wa kuabudu.

''Sauti ya ''Adhan'' haijawahi kusababisha uchafuzi wowote wa mazingira.Ni mojawapo ya tamaduni za dini ya kiislamu na hatujawahi kingilia sherehe yoyote ya kidini inayohusu Judaism. Vitendo vyenu ni vya kibaguzi'' ,alionya Ahmed Tibi wa chama cha Joint List alliance chenye Waarabu wengi.

''Hatua hii inalenga Uislamu'', aliongezea.
Ayman Odeh kiongozi wa muungano huo alifurushwa nje baada ya kukatakata nakala ya muswada huo.

Netanyahu ataka sauti za 'adhan' kupunguzwa misikitini

Raia wa Kiarabu nchini Israel wanaojulikana kama Waarabu Waisraeli ni kizazi cha Wapalestina 160,000 waliosalia baada ya taifa la Israel kubuniwa 1984.

Wao ni asilimia 20 ya idadi ya Waisraeli .
Asilimia themanini ya Waisraeli Waarabu ni Waislamu na waliosalia wamegawanyika sawa kati ya Wakristo na Druze
chanzo 
bbcswahili
Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

RELATED POSTS

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments ( Atom )

VIDEO: MBOWE AKIZUNGUMZIA SAKATA DAWA ZA KULEVYA



ZILIZOSOMWA ZAID WIKI HII

  • NSSF Yapigwa Marufuku Ujenzi wa Miradi Mipya
    Bunge limesimamisha utekelezaji wa miradi yote mipya ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mpaka hapo Kamati na Wi...
  • Lipumba Nusuru Achezee Kichapo Morogoro
    MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amenusurika kupigwa na vi...
  • 94 WAHITIMU ELIMU YA MSINGI SHINNING SCHOOL SONGWE MBEYA
    Wahitimu wa elimu ya msingi katika shule ya kimataifa ya Shinning School  Songwe Mbeya wakiwa katika maandamano ikiwa ni ...
  • DKT MAGUFULI NA MH SULUHU WALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE ZANZIBAR LEO
     Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari la wazi pamoja na mgombea mwenza Mhe.Samia Suluhu H...
  • MKUTANO MKUU WA BODABODA MKOA WA MWANZA WAADHIMIA KUANZISHWA KWA UMOJA WA BODABODA TAIFA.
    Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza Baraka Konisaga (Mtumishi wa Mungu) akuzungumza katika Mkutano Mkuu Muhura wa Kwanza wa m...
  • Godbless Lema Afikishwa Mahakamani.......Arudishwa Rumande Baada ya Kunyimwa Dhamana
    Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Godbless Lema leo amefikishwa mahakamani mkoani Arusha na kusomewa ...
  • Mbowe ,Lowasa Wamtembelea Mzee Kingunge Hospitali Ya Muhimbili
    Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameongozana na Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu, Edward Lowassa kumjulia hali Mz...
  • Go for Zanzibar (GOZA) a German NGO supports the Welezo Old Age Home
    Nkupamah media Mwenyekiti wa NGOs ya Go For Zanzibar Antje Fleischer na Meneja Mradi Mussa Khamis Baucha , w...
  • Picha Na MatukioHafla ya Kuapishwa Wajumbe Saba wa Baraza Walioteuliwa na Rais wa Zanzibar Dk Shein.
    Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia Chama cha AFP Mhe Said Soud Said, akiwasili katika jengo la Baraza la Wawakilish...
Powered by Blogger.

GLOBU RAFIKI

  • Bongo Blogs - Blog ya Taifa
    Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi ya V - *1. VOA Sauti ya America * www.voaswahili.com *2. Vijimambo* lukemusicfactory.blogspot.com
    10 months ago
  • DEWJIBLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K - Nhà cái VF555 Tặng 128K không chỉ nổi tiếng với sự uy tín mà còn là điểm đến lý tưởng cho những người yêu thích các trò chơi cá cược. Với nhiều chương trìn...
    2 years ago
  • Chadema Blog
    Hotuba ya Lissu; azungumzia kukoma Ubunge, atangaza hatua zinazofuata - Kuangalia unaweza kugonga hapo chini https://youtu.be/PpwHmbRrKoI
    6 years ago
  • Home
  • Portfolio
  • Gallery
  • Archive
    • Dec 2012
    • Jan 2013
    • May 2014
    • Feb 2015
  • Blog
  • About
  • Contact
  • Home

Flickr Images

Labels

  • BURUDANI
  • JAMII
  • KIMATAIFA
  • KITAIFA
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • SIASA
  • UCHUMI

co


Copyright © 2014 Tz News Blog
Blogger Templates