BASHE AZIDI KUITENDEA HAKI NAFASI YAKE YA UBUNGE


payee imeshuka, kwa lugha rahisi watu wengi watanzania wengi wameondolewa kazini ndo maana payee imeshuk...

"inputs good' VAT dropped/ kodi ya ongezeko la thamani ya bidhaa malighafi imeshuka kwa lugha rahisi viwanda vimepunguza uzalishaji.... implication yake kodi ya mapato itapungua


mapato ya bandari yameshuka kwa 13%, wafanya biashara wanaotumia bandari ya dar wamepungua wakati mizigo ya wafanya biashara wa Tanzania wanaotumia bandari ya Mombasa ikiongezeka kutoka 1% asilimia hadi 2.7%

biashara mpya 200,000 ila hazina matokeo yoyote chanya katika ongezeko la kodi wakati biashara 7000 zimefungwa zikileta na matokeo hasi katika kodi

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment